MSANII wa muziki wa Bongo Fleva, Nay wa Mitego amefungiwa kujihusisha na kazi za sanaa hiyo kwa muda usiojulikana.
Taarifa kutoka Baraza la Sanaa Tanzania zinasema Nay amefungiwa kutokana na Wimbo wake wa Pale Kati huku pia akiwa hajajisajili kwenye baraza hilo linalosimamia kazi za sanaa
Awali Basata walifungia Wimbo wa Shika adabu yako ya msanii huyo kwa madai ya kutokuwa na maadili mbele ya jamii.

Post a Comment

 
Top