Kikosi cha Azam FC leo Jumatano mchana kimefanya mazoezi ya viungo ndani ya bwawa la kuogelea kwenye Hoteli ya Mtoni Marine, ilipofikia timu hiyo Visiwani hapa Zanzibar.
Programu hiyo ilisimamiwa na Kocha Msaidizi wa Viungo wa Azam FC, Borges Pablo, ambapo aliweza kuwafanyisha mazoezi tofauti wachezaji ndani ya maji, ambayo walifurahishwa nayo.














Post a Comment

 
Top