KIUNGO wa zamani wa Arsenal, Mfaransa Mathieu Flamini, msimu huu ataendelea kuonekana tena lakini sasa akiwa na uzi wa rangi ya bluu na nyekundu inayovaliwa na Crystal Palace.
Flamini, 32, amejiunga na klabu hiyo akiwa kama mchezaji huru kwa mkataba wa mwaka mmoja baada ya kuachwa na Arsenal.

Post a Comment

 
Top