Kiungo wa
Juventus, Paul Pogba ame-post video kwenye akaunti yake ya Twitter ikimuonesha
akipangua ngumi na kumpiga mateke mpinzani wake, huku akiwa amevaliwa vest ya
nyota wa Golden State Warriors, Stephen
Curry.
Pogba, 23,
anajiandaa kurejea Man United kwa dau linaloweka rekodi mpya ya Dunia, ingawa
bado kuna mjadala mzito kama kiungo huyo ana thamani hiyo ya paundi milioni
100.
Post a Comment