Asante kwa kuendelea kutembelea blog hii kwani mpaka sasa ina watembeleaji wengi zaidi ndani na nje ya Tanzania. Blog hii inaahidi kuendelea kuwapa habari motomoto wasomaji wetu ambao wamekuwa bega kwa bega tangu ilipoanzishWa mpaka sasa ambapo familia imekuwa kuuubwa!  

Tunaahidi kuendelea kuwaletea habari za uhakika na ukweli kwa Lugha ya Kiswahili na Kiingereza (maalum kwa wasiofahamu kiswahili), Mungu aendelee kuwapa uzima zaidi wa kuendelea kusapoti kile kilicho bora!

Post a Comment

 
Top