April 7, 2025 06:32:03 AM Menu




MSHAMBULIAJI mpya wa Simba, Mrundi, Laudit Mavugo ndiye aliyeotea mara nyingi zaidi kwenye kikosi hicho katika mchezo wa Jumamosi iliyopita dhidi ya JKT Ruvu.

Katika mchezo huo ambao uliisha kwa suluhu, jumla Simba iliotea mara tano lakini straika Mavugo ndiye aliyeongoza kwa kuotea mara nne huku Fredric Blagnon.
29 Aug 2016

Post a Comment

Emoticon
:) :)) ;(( :-) =)) ;( ;-( :d :-d @-) :p :o :>) (o) [-( :-? (p) :-s (m) 8-) :-t :-b b-( :-# =p~ $-) (b) (f) x-) (k) (h) (c) cheer
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.

 
Top