MSHAMBULIAJI mpya wa Simba, Mrundi, Laudit Mavugo ndiye aliyeotea mara nyingi zaidi kwenye kikosi hicho katika mchezo wa Jumamosi iliyopita dhidi ya JKT Ruvu.

Katika mchezo huo ambao uliisha kwa suluhu, jumla Simba iliotea mara tano lakini straika Mavugo ndiye aliyeongoza kwa kuotea mara nne huku Fredric Blagnon.

Post a Comment

 
Top