April 8, 2025 12:12:20 PM Menu


BOKUNGU KUSHOTO

BEKI wa timu Simba, Janavier Bokungu na kiungo, Mussa Ndusha, bado wataendelea kutoitumikia timu hiyo kutokana na uhamisho wao kimataifa (ITC) kuchelewa.

Katibu wa Simba, Patrick Kahemela, alisema wanaendelea kushughulikia uhamisho wao ili waweze kuitumikia timu hiyo.
“Tuliomba ITC kutoka Darling Club (DC Motema Pembe), lakini hazijafika, tunaendelea kufuatilia na mchezo ujao wanaweza kucheza,” alisema.
22 Aug 2016

Post a Comment

Emoticon
:) :)) ;(( :-) =)) ;( ;-( :d :-d @-) :p :o :>) (o) [-( :-? (p) :-s (m) 8-) :-t :-b b-( :-# =p~ $-) (b) (f) x-) (k) (h) (c) cheer
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.

 
Top