Wachezaji
watano wa kimataifa wa Simba, Fredric Blagnon raia wa Ivory Coast, Laudit
Mavugo (Burundi), Janvier Bokungu, Musa Ndusha (wote DR Congo) na Method
Mwanjali (Zimbabwe) leo wamesaini mikataba tayari kwa kuitumikia timu hiyo
msimu ujao.
Wachezaji
hao walisaini mikataba hiyo mbele ya Rais wa Simba, Evans Aveva na Mjumbe wa
Kamati ya Utendaji ya Simba, Collins Frisch.
Post a Comment