April 17, 2025 12:55:49 AM Menu



Brian Majwega Arejea Uganda sasa kukipiga kunako Timu ya Kampala City Council Authority (KCCA) kwa mkataba wa miaka miwili.

Majwega amekuwapo katika klabu ya Azam kabla ya Msimu uliopita kuichezea Simba SC bila mafanikio hali iliyomfanya kuwepo katika wachezaji waliotoswa na Simba.

KCCA wanamsajili Majwega wakiwa na imani kuwa atawasaidia katika mashindano ya CECAFA KAGAME CUP pamoja na michuano ya ligi na Ile ya Kimataifa.
04 Jul 2016

Post a Comment

Emoticon
:) :)) ;(( :-) =)) ;( ;-( :d :-d @-) :p :o :>) (o) [-( :-? (p) :-s (m) 8-) :-t :-b b-( :-# =p~ $-) (b) (f) x-) (k) (h) (c) cheer
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.

 
Top