April 10, 2025 11:27:38 AM Menu




SIMBA SC itamenyana na Interclube ya Angola Agosti 8, mwaka huu Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam katika mchezo maalum wa tamasha la klabu hiyo, maarufu kama Simba Day.
Interclube wanatarajiwa kuwasili nchini Agosti 6 kabla ya mchezo huo maalum utakaotumika kutambulisha kikosi kipya cha Wekundu wa Msimbazi na benchi la Ufundi.
Kwa sasa, Simba imeweka kambi Chuo cha Biblia eneo la Bigwa mkoani Morogoro chini ya kocha wake Mkuu, Mcameroon, Joseph Marius Omog kujiandaa na msimu mpya.
28 Jul 2016

Post a Comment

Emoticon
:) :)) ;(( :-) =)) ;( ;-( :d :-d @-) :p :o :>) (o) [-( :-? (p) :-s (m) 8-) :-t :-b b-( :-# =p~ $-) (b) (f) x-) (k) (h) (c) cheer
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.

 
Top