Beki wa klabu ya soka ya Yanga Juma Abdul Jafar pamoja na beki wa klabu ya Simba Mohammed Hussein ‘Tshabalala’ wametajwa kuwania tuzo za mchezaji bora Tanzania bara pamoja na Shiza Kichuya wa Mtibwa Sugar.

Waliopendekezwa kuwania tuzo ya mchezaji bora wa ligi ni:
1.Shiza Kichuya (Mtibwa Sugar)
2.Juma Abdul (Yanga)
3.Mohamed Hussein (Simba)

Kwa upande wa kipa bora ni:
1.Aishi Manula (Azam)
2.Beno Kakolanya (Tanzania Prisons)
3.Deogratius Munishi (Yanga)


Kocha bora:
1.Hans Van Pluijm (Yanga)
2.Mecky Maxime (Mtibwa Sugar)
Salum Mayanga (Tanzania Prisons)

Tuzo ya mchezaji bora chipukizi:
1.Farid Mussa (Azam),
2.Mohamed Hussein (Simba)
3.Mzamiru Yasin (Mtibwa Sugar)
4.Shiza Kichuya (Mtibwa Sugar)

Waliongia kwenye orodha ya tuzo ya mchezaji bora wa kigeni:
1.Donald Ngoma (Yanga),
2.Thabani Kamusoko (Yanga)
3.Vincent Agban (Simba).


Waamuzi bora katika kinyang’anyiro hicho ni:
1.Anthony Kayombo
2.Ngole Mwangole
3.Rajab Mrope.
Tuzo hizo zimepangwa kufanyika Julai 17, 2016.       




Post a Comment

 
Top