April 10, 2025 06:20:51 AM Menu

 KIPA Daniel Agyei leo ametua tayari kwa kuanza mazungumzo na Simba ili aweze kujiunga na kikosi hicho kwenye mzunguko wa pili wa ligi kuu Bara.

Kipa huyo alionyesha uwezo mkubwa alipocheza na Yanga kwenye michuano ya Kombe la Shirikisho hatua ya makundi katika mchezo uliopigwa Uwanja wa Taifa na mechi kuisha kwa sare ya bao 1-1.



PICHA: Boiplus
30 Nov 2016

Post a Comment

Emoticon
:) :)) ;(( :-) =)) ;( ;-( :d :-d @-) :p :o :>) (o) [-( :-? (p) :-s (m) 8-) :-t :-b b-( :-# =p~ $-) (b) (f) x-) (k) (h) (c) cheer
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.

 
Top